Unapokwenda mbele za Mungu na kufanya Maombi ondoa mashaka, Mungu ni halisi na anasikia kile unachomuomba. Ili uweze kupokea kutoka kwake hakikisha unapokwenda mbele zake usiwe na mashaka, amini kuwa YEYE anaweza kujibu maombi yako nawe utapokea sawa sawa na imani yako.
Mwanangu Mungu akasikie na kujibu maombi yako leo na ukapokee haja zako.
@ MTUME NA NABII JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA.
... See MoreSee Less