Next Event

Stay Up to date with the church events
Comments Box SVG iconsUsed for the like, share, comment, and reaction icons

DAILY DEVOTION

With, Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira- Efatha Church

TITLE: ACT BRAVELY AND STRONGLY TO POSSESS
Joshua 1:7 "Only be thou strong and very courageous, that thou mayest observe to do according to all the law, which Moses my servant commanded thee: turn not from it to the right hand or to the left, that thou mayest prosper whithersoever thou goest."

Success comes from Effort in work. When a person follows instructions to do things so that they can happen, he enters the stage of Prosperity, if he does not act bravely and courageous, he cannot prosper.

God instructed Joshua to be strong and courageous so that he would be able to inherit the Promised Land for the Children of Israel, this means that if he was not strong and brave he would not inherit the Promised Land for the children of Israel.

When you feel sorry for yourself and stop doing something for God, you are far from your blessings. The Word says in the Psalms 126:5 "They that sow in tears shall reap in joy."

Do you want to own your Possessions? Stop being lazy, it is true that we have been highlighted this is the year of ownership but don't think for you to continue to sit and sing the year of ownership you will own something, no! Get up and do something while asking God to make you successful and you will see him bless you and even get to own what you want.
... See MoreSee Less

4 CommentsComment on Facebook

Kiingereza kinaoneka kuwa kigumu Kwa sababu , tumekifanya kuwa Somo, na sio lugha ndio maana Kuna Watu wengi wamesoma lakini Bado , kinawasumbua kuongea vizuri. Lakini kiingereza ni lugha , kama lugha nyingine tu, kama kimasai, kisukuma, kinyakyusa n.k Tumekuandalia kozi online na, Unakaribishwa na kujifunza na kuboresha kiingereza chako. Level za kiingereza . Level one: wanao Anza( beginners) Level two:Hatua ya kati(intermediate) Level three: Hatua ya juu( Advanced) Darasa ni Bure Kwa wanao Anza, na unajifunza kupitia online. Whatsapp namba: 0747660199 Karibu sana.

God bless you ✝️

Hi how are you MY name is Muskan ❤️ Would you like to preach the word of God in Pakistan?

DAILY DEVOTION

With, Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira- Efatha Church 

TITLE: ACT BRAVELY AND STRONGLY TO POSSESS
Joshua 1:7 Only be thou strong and very courageous, that thou mayest observe to do according to all the law, which Moses my servant commanded thee: turn not from it to the right hand or to the left, that thou mayest prosper whithersoever thou goest.

Success comes from Effort in work. When a person follows instructions to do things so that they can happen, he enters the stage of Prosperity, if he does not act bravely and courageous, he cannot prosper.

God instructed Joshua to be strong and courageous so that he would be able to inherit the Promised Land for the Children of Israel, this means that if he was not strong and brave he would not inherit the Promised Land for the children of Israel.

When you feel sorry for yourself and stop doing something for God, you are far from your blessings. The Word says in the Psalms 126:5 They that sow in tears shall reap in joy. 

Do you want to own your Possessions? Stop being lazy, it is true that we have been highlighted this is the year of ownership but dont think for you to continue to sit and sing the year of ownership you will own something, no! Get up and do something while asking God to make you successful and you will see him bless you and even get to own what you want.
NENO LA SIKU

Na Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, Kanisa la Efatha

Tarehe 17/10/2024

SOMO: TENDA KWA USHUJAA NA UHODARI ILI UPATE KUMILIKI 

Yoshua 1:7 "Uwe hodari tu na ushujaa mwingi, uangalie kutenda sawasawa na sheria yote aliyokuamuru Musa mtumishi wangu; usiiache, kwenda mkono wa kuume, au wa kushoto, upate kufanikiwa sana kila uendako."

Mafanikio hutokana na Juhudi katika Kazi. Mtu anapofuata maelekezo ya kufanya mambo ili yapate kutokea huingia katika hatua ya Ustawi, asipotenda kwa Ushujaa na Uhodari hawezi kustawi. 

Mungu alimwagiza Yoshua awe Hodari na Moyo wa Ushujaa ndipo ataweza kuwarithisha Wana wa Israeli Nchi yao ya Ahadi, hii inamaana kuwa kama asingekuwa hodari na mwenye moyo wa ushujaa asingewarithisha wana wa Israel nchi ya ahadi. 

Unavyojihurumia nakuacha kufanya kitu kwa Mungu unakuwa mbali na Baraka zako. Neno linasema katika  Zaburi 126:5 "Wapandao kwa machozi watavuna kwa kelele za furaha." 

Je! Unataka kumiliki milki zako? Acha uvivu, ni kweli tumetangaziwa huu ni mwaka wa kumiliki lakini usifikiri kwa wewe kuendelea kukaa na kuimba mwaka wa umiliki utamiliki kitu, la! Inuka na ufanye kitu huku ukimuomba Mungu akufanikishe ndipo utaona akikubariki na hata kufikia kumiliki yale unayoyataka.

NENO LA SIKU

Na Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, Kanisa la Efatha

Tarehe 17/10/2024

SOMO: TENDA KWA USHUJAA NA UHODARI ILI UPATE KUMILIKI

Yoshua 1:7 "Uwe hodari tu na ushujaa mwingi, uangalie kutenda sawasawa na sheria yote aliyokuamuru Musa mtumishi wangu; usiiache, kwenda mkono wa kuume, au wa kushoto, upate kufanikiwa sana kila uendako."

Mafanikio hutokana na Juhudi katika Kazi. Mtu anapofuata maelekezo ya kufanya mambo ili yapate kutokea huingia katika hatua ya Ustawi, asipotenda kwa Ushujaa na Uhodari hawezi kustawi.

Mungu alimwagiza Yoshua awe Hodari na Moyo wa Ushujaa ndipo ataweza kuwarithisha Wana wa Israeli Nchi yao ya Ahadi, hii inamaana kuwa kama asingekuwa hodari na mwenye moyo wa ushujaa asingewarithisha wana wa Israel nchi ya ahadi.

Unavyojihurumia nakuacha kufanya kitu kwa Mungu unakuwa mbali na Baraka zako. Neno linasema katika Zaburi 126:5 "Wapandao kwa machozi watavuna kwa kelele za furaha."

Je! Unataka kumiliki milki zako? Acha uvivu, ni kweli tumetangaziwa huu ni mwaka wa kumiliki lakini usifikiri kwa wewe kuendelea kukaa na kuimba mwaka wa umiliki utamiliki kitu, la! Inuka na ufanye kitu huku ukimuomba Mungu akufanikishe ndipo utaona akikubariki na hata kufikia kumiliki yale unayoyataka.
...

NENO LA SIKU

Na Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, Kanisa la Efatha

Tarehe 16/10/2024

SOMO: ILI UIFIKIE NDOTO YAKO KUNA GHARAMA UNAPASWA KUILIPA

Mathayo 24:13 "Lakini mwenye kuvumilia hata mwisho, ndiye atakayeokoka."

Wabeba ndoto wana vizuizi vingi sana kutoka kwa wapinzani wao. Kabla ya kuona ndoto yako ikitimia kuna maumivu mengi utapitia ili hiyo ndoto ipate kutimia, kwa sababu NDOTO ni kama mtoto akitoka katika tumbo la mama yake. Usiwe na mashaka unapopitia maumivu ili kuifikia ndoto yako kwa sababu upo katika Njia sahihi.

Kabla ya Yusufu kuifikia ndoto yake, alipita kunako maumivu mengi; alitaka kuuawa na ndugu zake, aliuzwa utumwani, alifungwa gerezani lakini aliishia kuwa mtu mkuu sana na akawa msaada kwa ndugu zake. Yesu kabla ya kuifikia ndoto yake, alipitia msalaba na akapigwa misumari; lakini sasa YEYE ni BWANA wa MABWANA na anatawala dunia nzima. 

Mwana wa Mungu unapokuwa katika safari ya kuiendea ndoto yako vizuiza na vipingamizi ni vingi sana ili tu usifikie katika ndoto yako, lakini usikate tamaa, pigania ndoto yako mpaka itimie.

NENO LA SIKU

Na Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, Kanisa la Efatha

Tarehe 16/10/2024

SOMO: ILI UIFIKIE NDOTO YAKO KUNA GHARAMA UNAPASWA KUILIPA

Mathayo 24:13 "Lakini mwenye kuvumilia hata mwisho, ndiye atakayeokoka."

Wabeba ndoto wana vizuizi vingi sana kutoka kwa wapinzani wao. Kabla ya kuona ndoto yako ikitimia kuna maumivu mengi utapitia ili hiyo ndoto ipate kutimia, kwa sababu NDOTO ni kama mtoto akitoka katika tumbo la mama yake. Usiwe na mashaka unapopitia maumivu ili kuifikia ndoto yako kwa sababu upo katika Njia sahihi.

Kabla ya Yusufu kuifikia ndoto yake, alipita kunako maumivu mengi; alitaka kuuawa na ndugu zake, aliuzwa utumwani, alifungwa gerezani lakini aliishia kuwa mtu mkuu sana na akawa msaada kwa ndugu zake. Yesu kabla ya kuifikia ndoto yake, alipitia msalaba na akapigwa misumari; lakini sasa YEYE ni BWANA wa MABWANA na anatawala dunia nzima.

Mwana wa Mungu unapokuwa katika safari ya kuiendea ndoto yako vizuiza na vipingamizi ni vingi sana ili tu usifikie katika ndoto yako, lakini usikate tamaa, pigania ndoto yako mpaka itimie.
...

POWERFUL MESSAGE:

We overcome the powers of darkness in the spiritual realm by the strength and power of God.

Josephat E. Mwingira
Josephat Elias Mwingira

Kama kile unachokifanya hakiwezi kukusaidia, basi elewa kuwa ni bure kwa sababu hakiwezi kumsaidia mtu mwingine pia.

Josephat E. Mwingira
Josephat

Marry someone you love, and who loves you, so that even if any storm arises in your lives, you will be able to stand together.

Mama Eliakunda Mwingira
Mama Eliakunda Mwingira

Latest Sermons