Next Event

Stay Up to date with the church events
Comments Box SVG iconsUsed for the like, share, comment, and reaction icons

Unapokwenda mbele za Mungu na kufanya Maombi ondoa mashaka, Mungu ni halisi na anasikia kile unachomuomba. Ili uweze kupokea kutoka kwake hakikisha unapokwenda mbele zake usiwe na mashaka, amini kuwa YEYE anaweza kujibu maombi yako nawe utapokea sawa sawa na imani yako.

Mwanangu Mungu akasikie na kujibu maombi yako leo na ukapokee haja zako.

@ MTUME NA NABII JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA.
... See MoreSee Less

35 CommentsComment on Facebook

Amen Amen

Amen! Daddy

Amen

Load More

Unapokwenda mbele za Mungu na kufanya Maombi ondoa mashaka, Mungu ni halisi na anasikia kile unachomuomba. Ili uweze kupokea kutoka kwake hakikisha unapokwenda mbele zake usiwe na mashaka, amini kuwa YEYE anaweza kujibu maombi yako nawe utapokea sawa sawa na imani yako.

Mwanangu Mungu akasikie na kujibu maombi yako leo na ukapokee haja zako.

@ MTUME NA NABII JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA.
NENO LA SIKU

Na Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, Kanisa la Efatha

Tarehe 15/10/2024

SOMO: HAKI YA MUNGU KWAKO

Kila mtu huku duniani ana ratiba yake ambayo  Mungu amempangia na ili uweze kuvipata vile Mungu alivyokuandalia ni lazima utembee katika kweli ya Mungu ili uweze kuipata haki yako. 

Mara zote usipende kumuomba Mungu akupe kufanana na mtu fulani? La, kwa sababu unapoomba Mungu akupe kuwa kama mtu fulani inamaana kuwa utapata ambacho sio chako. Mfano; haki ya Daudi ilikuwa afikie kuwa mfalme katika njia aliyopitia yeye; lakini haki ya Yusufu ilikuwa lazima akawe mtumwa katika nyumba ya Potifa, aende jela ndipo akawe mkuu katika ufalme, sasa unapoomba wewe kuwa kama mtu fulani inamaana utapewa kitu ambacho sio chakwako na itakuwa ni ngumu wewe kushinda. Lakini ukiomba sawa sawa na haki yako hata likitokea gumu la aina gani hautakata tamaa bali utasonga mbele.

Utajuaje upo katika njia sahihi? Lolote linalotokea mbele yako hatakama ni gumu kiasi gani haukati tamaa na unapata nguvu ya kuendelea mbele. 

Unapoomba Mungu nipe kupita katika njia yako sawa sawa na haki yako kwangu, Yeye anakupa nguvu ya kushinda yale yote yanayokuja mbele yako.  Usiombe kuwa kama Daniel kwa maana  je! Ukiingizwa katika tundu la  simba utaweza? Wewe paka tu unaogopa sasa ukiingizwa katika simba utabaki kweli.

Ombi lako kwa Mungu liwe ni; 
Omba Mungu akupe kuwa sawa sawa na haki yako aliyokuandalia ili uweze kuona baraka zake kwako.

NENO LA SIKU

Na Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, Kanisa la Efatha

Tarehe 15/10/2024

SOMO: HAKI YA MUNGU KWAKO

Kila mtu huku duniani ana ratiba yake ambayo Mungu amempangia na ili uweze kuvipata vile Mungu alivyokuandalia ni lazima utembee katika kweli ya Mungu ili uweze kuipata haki yako.

Mara zote usipende kumuomba Mungu akupe kufanana na mtu fulani? La, kwa sababu unapoomba Mungu akupe kuwa kama mtu fulani inamaana kuwa utapata ambacho sio chako. Mfano; haki ya Daudi ilikuwa afikie kuwa mfalme katika njia aliyopitia yeye; lakini haki ya Yusufu ilikuwa lazima akawe mtumwa katika nyumba ya Potifa, aende jela ndipo akawe mkuu katika ufalme, sasa unapoomba wewe kuwa kama mtu fulani inamaana utapewa kitu ambacho sio chakwako na itakuwa ni ngumu wewe kushinda. Lakini ukiomba sawa sawa na haki yako hata likitokea gumu la aina gani hautakata tamaa bali utasonga mbele.

Utajuaje upo katika njia sahihi? Lolote linalotokea mbele yako hatakama ni gumu kiasi gani haukati tamaa na unapata nguvu ya kuendelea mbele.

Unapoomba Mungu nipe kupita katika njia yako sawa sawa na haki yako kwangu, Yeye anakupa nguvu ya kushinda yale yote yanayokuja mbele yako. Usiombe kuwa kama Daniel kwa maana je! Ukiingizwa katika tundu la simba utaweza? Wewe paka tu unaogopa sasa ukiingizwa katika simba utabaki kweli.

Ombi lako kwa Mungu liwe ni;
Omba Mungu akupe kuwa sawa sawa na haki yako aliyokuandalia ili uweze kuona baraka zake kwako.
...

I BLESS MY TUESDAY.

For it is the Day of Family; it is the Day of getting Married and Marry, I BLESS My Family, Thank YOU for My Family, I am BLESSED with My Family. Thank You Lord JESUS, for My Tuesday is BLESSED. No Child in our House shall be a pain to us, shall bring sorrow to us, shall bring bitterness to us because We are BLESSED Family, I am BLESSED, and all My Family.

Hallelujah.

I BLESS MY TUESDAY.

For it is the Day of Family; it is the Day of getting Married and Marry, I BLESS My Family, Thank YOU for My Family, I am BLESSED with My Family. Thank You Lord JESUS, for My Tuesday is BLESSED. No Child in our House shall be a pain to us, shall bring sorrow to us, shall bring bitterness to us because We are BLESSED Family, I am BLESSED, and all My Family.

Hallelujah.
...

NENO LA SIKU

Na Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, Kanisa la Efatha

Tarehe 14/10/2024

SOMO: URITHI WAKO  UMEANDALIWA MBELE YA ADUI ZAKO

Zaburi 23:5 "Waandaa meza mbele yangu, 
Machoni pa watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, na kikombe changu kinafurika."

Mungu amekukusudia kumiliki ndani ya mwaka huu wa kumiliki, lakini meza yako imeandaliwa mbele ya adui zako,  pale ambapo watesi wako wapo, sasa usipowashughulikia hao adui zako kamwe hautaweza kumiliki yale yaliyo ya kwako. 

Mungu akawaambia wana wa Israel amewapa nchi ya maziwa na asali, wapi? Hapo ambapo kuna majitu, walipofika mahali wakakata tamaa na kujiona wao ni kama panzi mbele ya hayo majitu hawakuweza kuirithi ile nchi, ni watu wawili tu ambao walikuwa na moyo wa imani ndio waliyoingia katika ile nchi ya ahadi ambao ni Joshua na Kalebu, lakini wote waliotoka Misri jeshi lote lilifia jangwani.

Wewe umepewa kumiliki na mamlaka hiyo ipo juu yako itendee kazi sasa, lakini kama unasubiri Yesu akemee mchawi aliyeko kwenu basi utakaa sana, kama unamsubiri Yesu akemee mzimu wa babu yako utakufa masikini, lakini kama unajua kuwa Yesu amekupa mamlaka na ukasimama na hiyo mamlaka basi utakuwa mshindi siku zote. Luka 10:19 “Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru.” Simama katika nafasi yako ili uweze kumiliki.

NENO LA SIKU

Na Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, Kanisa la Efatha

Tarehe 14/10/2024

SOMO: URITHI WAKO UMEANDALIWA MBELE YA ADUI ZAKO

Zaburi 23:5 "Waandaa meza mbele yangu,
Machoni pa watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, na kikombe changu kinafurika."

Mungu amekukusudia kumiliki ndani ya mwaka huu wa kumiliki, lakini meza yako imeandaliwa mbele ya adui zako, pale ambapo watesi wako wapo, sasa usipowashughulikia hao adui zako kamwe hautaweza kumiliki yale yaliyo ya kwako.

Mungu akawaambia wana wa Israel amewapa nchi ya maziwa na asali, wapi? Hapo ambapo kuna majitu, walipofika mahali wakakata tamaa na kujiona wao ni kama panzi mbele ya hayo majitu hawakuweza kuirithi ile nchi, ni watu wawili tu ambao walikuwa na moyo wa imani ndio waliyoingia katika ile nchi ya ahadi ambao ni Joshua na Kalebu, lakini wote waliotoka Misri jeshi lote lilifia jangwani.

Wewe umepewa kumiliki na mamlaka hiyo ipo juu yako itendee kazi sasa, lakini kama unasubiri Yesu akemee mchawi aliyeko kwenu basi utakaa sana, kama unamsubiri Yesu akemee mzimu wa babu yako utakufa masikini, lakini kama unajua kuwa Yesu amekupa mamlaka na ukasimama na hiyo mamlaka basi utakuwa mshindi siku zote. Luka 10:19 “Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru.” Simama katika nafasi yako ili uweze kumiliki.
...

POWERFUL MESSAGE:

We overcome the powers of darkness in the spiritual realm by the strength and power of God.

Josephat E. Mwingira
Josephat Elias Mwingira

If what you're doing cannot help you, then understand that it's in vain because it cannot help anyone else either.

Josephat E. Mwingira
Josephat

Marry someone you love, and who loves you, so that even if any storm arises in your lives, you will be able to stand together.

Mama Eliakunda Mwingira
Mama Eliakunda Mwingira

Latest Sermons